
Fabolous ameonekana kufurahishwa kuzaa na mlatino huyo ambapo kila mara msanii huyo amekuwa karibu na mwanae kitu ambacho kwake anakiona ni furaha kubwa. Lakini wadaku wanasema kuwa msanii huyo alikuwa hapendi watu wajui kama ana mtoto kutokana na kumficha ili mapaparazi wasijue.
Hata hivyo imeshindikana kumficha mtotot huyo kutokana na mashabiki wake kujua kinachoendelea na mwanadada huyo ila watu wanajiuliza msanii huyo aliyekuwa hapendi watu wajue ana mahusiano na mtu yeyote kwani alikuwa ni mzee wa totoz.
No comments:
Post a Comment